Mohammed Hussein ( Tshabalala )
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Zacharia Hans Poppe leo Septemba 12 2016 ametimiza ahadi yake aliyoitoa kwa beki wa pembeni wa klabu ya Simba Mohammed Hussein ambaye wengi wamemzoea kwa jina la Tshabalala
Hans Poppe alipomkabidhi kadi ya gari mchezaji huyo
Hans Poppe ambaye amemkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Raum beki huyo, ametimiza ahadi aliyoitoa kwa nyota huyo, baada ya kufanya vizuri msimu uliopita kama alivyomuahidi.

