Mtu wangu nakusogezea taarifa hii kutoka visiwani Haiti. Wiki hii kuliripotiwa
kutokea kwa kimbunga kikali kiliambatana na mvua pamoja upepo
mkali ambao umevikumbuka visiwa hivyo. Kimbunga kilichopewa
jina laHurricane Matthew kimesababisha madhara
makubwa kwa kuharibu miundo mbinu,
majumba ya kuishi, watu wamepoteza maisha na wengine makazi
ya kuishi.
kutokea kwa kimbunga kikali kiliambatana na mvua pamoja upepo
mkali ambao umevikumbuka visiwa hivyo. Kimbunga kilichopewa
jina laHurricane Matthew kimesababisha madhara
makubwa kwa kuharibu miundo mbinu,
majumba ya kuishi, watu wamepoteza maisha na wengine makazi
ya kuishi.
Ripoti ya Umoja wa Mataifa, Kimbunga hicho kimeacha madhara kwa watu
takribani 350,000 na kuirejesha Haiti kwenye kumbukumbu mbaya ya aina
hiyo iliyowahi kujitokeza miaka sita iliyopita. Mwakilishi wa
UNICEF nchini Haiti, Marc Vincent amesema kimbunga Matthew
ni kibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo katika miongo ya
karibuni na bila shaka madhara yake yatakuwa makubwa.
takribani 350,000 na kuirejesha Haiti kwenye kumbukumbu mbaya ya aina
hiyo iliyowahi kujitokeza miaka sita iliyopita. Mwakilishi wa
UNICEF nchini Haiti, Marc Vincent amesema kimbunga Matthew
ni kibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo katika miongo ya
karibuni na bila shaka madhara yake yatakuwa makubwa.
Kimbunga Mathew ambacho ndicho kubwa zaidi katika visiwa vya Carebean kwa
zaidi ya
muongo mmoja uliopita, kimepiga taifa la Bahamas baada ya kupitia Haiti na Cuba.
zaidi ya
muongo mmoja uliopita, kimepiga taifa la Bahamas baada ya kupitia Haiti na Cuba.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linashirikiana na serikali
ya Haiti na wadau wengine kusambaza vifaa vya usaidizi kwa waathirika wa kimbunga
Matthew kilichopiga Haiti hii leo. UNICEF inasema misaada hiyo ni pamoja na vidonge
vya kutakasisha maji na vya kujisafi, wakati huu ambapo watoto zaidi ya Milioni Nne
wanatarajiwa kuwa wameathiriwa na zahma hiyo.
ya Haiti na wadau wengine kusambaza vifaa vya usaidizi kwa waathirika wa kimbunga
Matthew kilichopiga Haiti hii leo. UNICEF inasema misaada hiyo ni pamoja na vidonge
vya kutakasisha maji na vya kujisafi, wakati huu ambapo watoto zaidi ya Milioni Nne
wanatarajiwa kuwa wameathiriwa na zahma hiyo.