.

.

Jumamosi, 24 Septemba 2016

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA KOREA YA KUSINI KUENDELEZA SEKTA ZA HABARI ,MICHEZO NA TASNIA YA FILAMU

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akipokea zawadi ya jezi maalum kutoka kwa Mkurugenzi wa Klabu ya Soka ya Seongnam Bw. Suk Hoon Lee kutoka Korea ya Kusini, jezi hiyo ni zawadi maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kutoka kwa klabu hiyo Septemba 23,2016 jijini Dar es Salaam.

 
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiangalia zawadi ya kitabu aliyoipokea kutoka kwa Mkurugenzi wa TCN kutoka Korea ya Kusini Bw. Soon Young-Soon Septemba 23,2016 jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka klabu ya ya Soka ya Seongnam na kampuni ya TCN kutoka Korea ya Kusini leo Spetemba 23, 2016 jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na ujumbe kutoka Korea ya Kusini ofisini kwake jijini Dar es Salaam kuhusu uwekezaji katika sekta ya Habari, Michezo na Utengenezaji wa Filamu nchini Septemba 23, 2016. 

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na ujumbe kutoka Korea ya Kusini ofisini kwake jijini Dar es Salaam kuhusu uwekezaji katika sekta ya Habari, Michezo na Utengenezaji wa Filamu nchini Septemba 23, 2016.