
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akitoa heshima zake za mwisho kwa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akimfariji Mama Margareth Sitta, Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akimpa pole binti wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akimpa pole Mhe. John Sitta, mtoto wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016







Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akiwapa pole wanafamilia wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Mhe Benjamin William Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimfariji Mtoto wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Makamu wa Rais Mstaafu Dr Gharib Bilal akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Spika Mstaafu wa Bunge Anne Makinda akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Mke wa Rais Mstaafu Mama Sitti Mwinyi akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Spika Mstaafu wa Bunge Pius Msekwa akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Waziri Mkuu Mstaafu Joseh Warioba akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jeneral Davis Mwamunyange akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016

Mkuu wa Jeshi la Magereza Nchini Casmi Minja akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016