hajituppa.blog
.
Jumapili, 16 Oktoba 2016
Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy Washinda Tuzo za Afrimma 2016
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.
“Team Tanzania Mungu ni mwema siku zote,” ameandika Harmonize baada ya ushindi huo.
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani