Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhandisi Mathew Mtigumwe akiwa ameketi
kwenyedawati mara baada ya kukabidhiwa madawati 335 yenye thamani
ya milioni 56,kulia ni mkurugenzi wa Tigo kanda ya kaskazini,
George Lugata na mwanafunziwa shule ya msingi Minga, Ali Saidi.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhandisi Mathew Mtigumwe akinyanyua
mikono juu na mkurugenzi wa Tigo kanda kaskazini, George Lugata
na Meneja wa kandakaskaziniTigo, Aidan Komba.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhandisi Mathew Mtigumwe akipokea
msaada wamadawati 335 yenye thamani ya milioni 56, toka kwa
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, George Lugata kwenye
makabidhiano yaliyofanyika katika viwanja vya mkuu wa mkoa jana
