.

.

Jumapili, 18 Septemba 2016

SERENGETI BOYS YAUA 3-2

SERENGETI BOYS


Timu ya vijana chini ya umri 17 leo jumamosi wamefanya kweli baaada ya
kuwafunga wenzao wa Jamhuri ya Congo kwa jumla magoli 3-2 kwa mawili.